Hii ni kazi ya mikono ya akina mama wa Ikombe wilayani Kyela mkoani Mbeya,ni kazi za mikono ambazo akina mama wengi wilayani humo huwasaidia kupata kipato na kuendesha maisha yao ya kila siku, pichani ni vyungu vikiwa vinasubiri wateja eneo lililopo ufukweni mwa ziwa la Nyasa katika kata ya Matema.
Post a Comment