$BlogMetaData$

 

HOME | PROFILE | GUEST BOOK | CONTACTS | MAKE IT YOUR HOME PAGE
karibu katika Blogi ya Festo Sikagonamo a.k.a Kadogoo, Jisikie huru kuchangia mjadala wowote ulioko humu ndani pamoja na kutuma maoni, mawazo, au chochote unachodhani kuwa kinahitajika kujadiliwa na jamii kwa ujumla. Endelea kufurahia
Vyungu vikisubiri Wateja
Mwandishi: kadogoo Tarehe: 5:43 AM | kiungo mahususi

Hii ni kazi ya mikono ya akina mama wa Ikombe wilayani Kyela mkoani Mbeya,ni kazi za mikono ambazo akina mama wengi wilayani humo huwasaidia kupata kipato na kuendesha maisha yao ya kila siku, pichani ni vyungu vikiwa vinasubiri wateja eneo lililopo ufukweni mwa ziwa la Nyasa katika kata ya Matema.
 



Maoni: 0


Post a Comment

~ Rudi Mwanzo
ukibonyeza hapa, unabakia katika blogi hii