$BlogMetaData$

 

HOME | PROFILE | GUEST BOOK | CONTACTS | MAKE IT YOUR HOME PAGE
karibu katika Blogi ya Festo Sikagonamo a.k.a Kadogoo, Jisikie huru kuchangia mjadala wowote ulioko humu ndani pamoja na kutuma maoni, mawazo, au chochote unachodhani kuwa kinahitajika kujadiliwa na jamii kwa ujumla. Endelea kufurahia
TUWAJALI WATOTO WALIFIWA NA WAZAZI WAO.
Mwandishi: kadogoo Tarehe: 4:57 AM | kiungo mahususi
Mmmoja wa watoto yatima wa Mbozi akiwasubili wenzake ili waongozane kurudi nyumbani baada ya kupokea msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na mradi wa jali watoto kutoka PACT Tanzania kupitia shirika la Caritas Mbeya.

 



Maoni: 2


Tarehe: October 13, 2009 at 12:46 PM, Blogger MBOGELA, Jackson Anasema:

Liko wapi tumaini la huyu Mtoto, anahitaji kuwa na uhakika wa kuishi maisha bora ya afya, ana hitaji uhakika wa elimu na baadaye kazi. Maisha haya kwa watanzania tulio wengi ni ya kufikirika zaidi. Tunahitaji mfumo utakaotuweka mahali, tukasema na sisi tunaishi

 

Tarehe: October 17, 2009 at 2:20 AM, Blogger kadogoo Anasema:

Liko wapi tumaini la huyu Mtoto, anahitaji kuwa na uhakika wa kuishi maisha bora ya afya, ana hitaji uhakika wa elimu na baadaye kazi. Maisha haya kwa watanzania tulio wengi ni ya kufikirika zaidi. Tunahitaji mfumo utakaotuweka mahali, tukasema na sisi tunaishi

 

Post a Comment

~ Rudi Mwanzo
ukibonyeza hapa, unabakia katika blogi hii